Kuanzia mwaka 2005-2010 tumeshuhudia viongozi mbali mbali duniani wakilipwa kiasi kikubwa cha mishahara pamoja na  baadhi ya viongozi ambao wamekuwa wakitoka kwenye nchi maskini na wengine wakitoka dunia ya pili.Lakini viongozi hao wemeingia katika rekodi ya viongozi ambao wamekuwa wakilipwa mishara mikubwa.Takwimu hizi zinatolewa kati kwa miaka mitatu mpaka mitano.Takwimu hizi ni kati ya mwaka 2005-2010


Nchi
Jina la Kiongozi
Mshahara kwa Mwaka

1.
Singapore
  Lee Hsien Loong
$2,183,520

2.
Hong Kong
Donald Tsang
$513,245

3.
Kenya
Raila Odinga
$427,886

4.
U.S.A
Barack Obama
$400,000

5.
France
Nicolas Sarkozy
$302,435
6.
Canada
Stephen Harper
$296,400
7.
Ireland
Mary McAleese
$287,900

8.
Australia
Julia Gillard
$286,752

9.
Germany
Angela Merkel
$283,608

10.
Japan
Yoshihiko Noda
$273,676

Je unafikiri  ni viongozi gani wanaweza kuingia kwenye rekodi hiii.
Baadhi ya Viongozi waliokuwepo wengine weshaachia ngazi katika utalawa.Je ni nani anayeweza kushikilia  kuingia katika nafasi zao  au nani anayeweza kutoka katika takwimu zijazo za  kati ya mwaka 2010-2015.
Kaa tayari blog hii itaendelea kukujulisha na kukueleza nani kaingia nani katoka katika takwitu zijazo.
| |

1.Sloths  ni mnyama amabye anasadikika kuwa mvivu kuliko wote duniani.Mnyama huyu hulala kwa muda wa masaa 18 kwa siku kwa kuning’inia kwenye matawi ya miti.Wakati akiwa anatembea ardhini atamia muda wa dakika moja kutembea umbali wa  kati ya Sentimeta 15-30(futi 0.5-1) ambao ni sawa na urefu wa rula moja

 Sloths akiwa juu ya mti

2.Mbwa mwenye jina la Sam  wa nchini China ndie ambaye ameshikilia rekodi kuwa mbwa mwenye Sura mbaya zaidi kuwahi kutokea ulimwenguni.Mbwa huyu alikufa mwaka 2005.Mbwa huyu alishikilia rekodi hii kuanzia mwaka 2003 mpaka alipokufa mwaka 2005.

Huyu ndie Mbwa aitwaye Sam

 3. Jina la Jacob kwa upande wa watoto wa kiume nchini Marekani ndilo limekuwa jina Maaarufu na kutumika zaidi kuliko jina linguine.

Jina Maarufu zaidi la Watoto wa kiume nchini Marekani

Jina Emily ndilo amnbalo ndilo linashikilia rekodi hii kwa upande wa jina la kike.Takwimu hizi zimepatika katika kumbukumbu mbali za Marekani.

Jina la Watoto wa Kike Maarufu zaidi nchini  Marekani

4. Jon Brower Minnoch wa nchini Marekani ndie anashikilia rekodi kwenye vitabu mbali mbali vya hapa duniani kuwa ndiye mtu mnene kuwahi kutokea hapa Ulimwenguni.Jon Brower Minnoch alikuwa na takribani Kilogramu 635.Ambazo bado hazajafikiwa.

Huyu ndie Jon Brower Minnoch 

 5.Daniel Browning Smith  a.k.a Rubber Boy wa Marekani ndie mtu anayeshikilia rekodi ya kuwa mtu mwepesi zaidi(Flexible) kuwahi kutoke kwenye ulimwengu huu.Ana uwezo wa kujikunja kwa nusu duara na kutengeneza Nyuzi za Sentigredi 180.Pia ana uwezo mkubwa wa kutengeneza umbo lolote kutoka na viungo vyake kuwa laini sana.

Huyu ndiye Daniel Browning Smith  a.k.a Rubber Boy
| |

Baada ya kupitia Finacial Report za Benki mbali mbali Ulimwenguni zilizotolewa mpaka tarehe 31/03/2012 na Mashirika mbali mbali ya fedha Ulimwenguni.Blog hii imegundua Benki ambazo zimekuwa na Mali  nyingi za thamani kubwa zaidi kuliko nyingine hapa Ulimwenguni.Hizi ndizo Benki 30 zinazoongoza kwa mali(Assets) kuliko nyingine katika sayari hii.Takwimu za umiliki wa fedha na mali mbali mbali zimechukuliwa kupitia sarafu ya nchi ya Marekani(Dollar[$])

Haya ndio Makao Makuu ya Benki ya Deutsche nchini Ujerumani ambayo ndio inaongoza kuwa na Assets nyingi zaidi zenye Thamani Kubwa Ulimwenguni


Takwimu za Benki Husika na Thamani ya Mali inayomiliki

Nafasi
Benki
Nchi
Jumla ya Mali (US$B)
1
Deutsche Bank
Germany
2,805.50
2
Mitsubishi UFJ Financial Group
Japan
2,641.22
3
HSBC Holdings
UK
2,637.22
4
Industrial & Commercial Bank of China
China
2,607.75
5
BNP Paribas
France
2,545.34
6
Credit Agricole Group
France
2,514.81
7
Barclays PLC
UK
2,430.74
8
Japan Post Bank
Japan
2,363.15
9
JPMorgan Chase & Co.
USA
2,320.33
10
Royal Bank of Scotland Group
UK
2,246.52
11
Bank of America
USA
2,181.45
12
China Construction Bank
China
2,107.21
13
Bank of China
China
2,046.37
14
Mizuho Financial Group
Japan
1,995.57
15
Agricultural Bank of China
China
1,993.25
16
Citigroup Inc
USA
1,944.52
17
Sumitomo Mitsui Financial Group
Japan
1,726.21
18
Banco Santander
Spain
1,712.05
19
ING Group
Netherlands
1,656.88
20
Societe Generale
France
1,592.72
21
Lloyds Banking Group
UK
1,548.00
22
Groupe BPCE
France
1,540.24
23
UBS
Switzerland
1,514.15
24
Wells Fargo
USA
1,333.80
25
UniCredit S.p.A.
Italy
1,244.75
26
Credit Suisse Group
Switzerland
1,108.61
27
China Development Bank
China
992.00
28
Goldman Sachs
USA
951.00
29
Rabobank Group
Netherlands
947.62
30
Nordea Bank
Sweden
925.83

Baada ya kufwatilia Finacial Report na Assets mbali mbali zinaziomilikiwa na Benki mbali mbali Ulimwengu kwa muda mrefu blog hii imekuja kugundua hata katika Benki 100 Zenye Assets nyingi na mshiko mrefu Bara La Afrika halina hata Benki moja inayoingia wala hata dalili ya kukaribia. 
| |