Kila Kukicha Nchini Mwetu Kumekuwa Kukizuka Vituko Kadha wa Kadha..Leo Katika Ndivyo Sivyo ..Tunajidili Kuhusu Mabloga Wetu.Kazi ya Blogging Kwenye Jamii za watu waliondelea ni moja ya kazi ambazo zimekuwa zikiheshimiwa kutokana na ufasaha wa kazi na ubunifu wa Kazi za Mablogger.Lakini Nchini Mwetu Imekuwa Ndivyo Sivyo.Mablogger wengi wamekuwa wakitamani kupata Umaarufu wa Haraka Haraka Kwa Kutoa Habari zinazoipotosha Jamii na Kuifanya Jamii kuona kama Jamii ya Bloggers kama ni Jamii isiyojua Kitu gani Inafanya.Lakini Ki-ukweli ukitaka Kuheshimika Fanya kazi yako kwa Heshima...Acha Habari za Uzushi ...Kuwa Blogger Sio Kukosa Kazi Bali ni Kuwa Mbunifu na kwa Kutafuta Habari zenye Kina na Maantiki zenye kuisogeza jamii yetu Mbele.Blogging sio Copying and Pasting....Blogging ni Ubunifu wa Kichwa chako kwenye Jamii Yetu.
Katuni Hii Kwa Hisani ya Marco