Siku ya Tarehe 23/2/2013 kwenye Ukumbi wa Kanisa la Victory Christian Center Tabernacle (VCCT) kulikuwa na sherehe ya Huduma ya Soul Breakfast Kutimiza Miaka Miwili Tangu ilipoanzishwa Machi,2011.
Huduma Hii ni Maalumu kwa Wanafunzi wa Viwango tofauti tofauti vya Elimu Kuanzia Sekondari Mpaka Elimu za juu hapa nchini Kwetu Tanzania.
Huduma Hii ilianza na wanafunzi wachache sanaa mwaka 2011 lakini mpaka sasa kuna takribani wanafunzi 200 ambao wana hudhuria kwenye huduma hii.Lengo La Huduma Hii ni Kuwawezesha Wanafunzi kupata ujuzi wa kawaida wa maisha ya mtaani baada ya kutoka shule lakini pia na namna ya kutumia fursa zote zinazopatikana wakati wakiwa kwenye maeneo yao ya Elimu wanaposomea.


Ibada ya Sherehe ikianza

Inter -  Collage  Praise and Worship Team ikiwa Jukwaani

Soul Breakfast Team Maurice Okao(Mwenyekiti wa Soul Breakfast) na Director wa Campus Ministry  Samuel Sasali

Praise and Worship Team ikienda Sawa

Pastor Dr Huruma Nkone alikuwepo siku hiyo

Write The Word Coconut kwa Kutumia Mwili Wako

Director wa Campus Ministry Samuel Sasali Akielezea Maana ya Soul Breakfast  

Rivers of Joy International(Junior) Wakienda Sawa

Praise and Worship Imenoga

Cheza muziki wa Yesu

Twende Sawa

Wadau wakienda Sawa na Muziki wa Yesu
Prezzor Chavala akifanya Vitu vyake kwenye Jukwaa

Pastor Dr Huruma Nkone akinena na Watu waliofika Siku Hiyo

Paul Clement kutoka Glorious Team akifanya vitu vyake kwenye Jukwaa

Hawa ndio Presenters na Watu walifanya kazi na Soul Breakfast mwaka 2012-2013 wakiwa wameshika Vyeti Vyao baada ya Kutunukiwa kwa Utayari wao 
Soul BreakFast Committee  wakiwa na Presenter na Wadau Wengine wakipata pich a ya Pamoja na Pastor Dr Huruma Nkone

Maurice Okao Mwenyekiti wa Soul Breakfast Committee akieleza jambo

Mc wa Soul Breakfast Siku hiyo akienda Sawa

Wadau wakisikiliza jambo kwa Umakini Mkubwa Sana

Mwendo wa Celebration tu hapa

MC akienda Sawa

Vuvuzela Zilikuwa Sehemu ya Sherehe ya Soul Breakfast



Huyu ndie Mc Pilipili Mtoto wa Mama Roda

Kikazi Zaidi Mc Pilipili ya Shughuli


Mwendo wa Kazi tu Hapa

Enzi za Primary hizo 

Paul Clement pamoja na Team yake Wakimaliza Shughuli