Baada ya kupitia Finacial Report za Benki mbali mbali Ulimwenguni zilizotolewa mpaka tarehe 31/03/2012 na Mashirika mbali mbali ya fedha Ulimwenguni.Blog hii imegundua Benki ambazo zimekuwa na Mali  nyingi za thamani kubwa zaidi kuliko nyingine hapa Ulimwenguni.Hizi ndizo Benki 30 zinazoongoza kwa mali(Assets) kuliko nyingine katika sayari hii.Takwimu za umiliki wa fedha na mali mbali mbali zimechukuliwa kupitia sarafu ya nchi ya Marekani(Dollar[$])

Haya ndio Makao Makuu ya Benki ya Deutsche nchini Ujerumani ambayo ndio inaongoza kuwa na Assets nyingi zaidi zenye Thamani Kubwa Ulimwenguni


Takwimu za Benki Husika na Thamani ya Mali inayomiliki

Nafasi
Benki
Nchi
Jumla ya Mali (US$B)
1
Deutsche Bank
Germany
2,805.50
2
Mitsubishi UFJ Financial Group
Japan
2,641.22
3
HSBC Holdings
UK
2,637.22
4
Industrial & Commercial Bank of China
China
2,607.75
5
BNP Paribas
France
2,545.34
6
Credit Agricole Group
France
2,514.81
7
Barclays PLC
UK
2,430.74
8
Japan Post Bank
Japan
2,363.15
9
JPMorgan Chase & Co.
USA
2,320.33
10
Royal Bank of Scotland Group
UK
2,246.52
11
Bank of America
USA
2,181.45
12
China Construction Bank
China
2,107.21
13
Bank of China
China
2,046.37
14
Mizuho Financial Group
Japan
1,995.57
15
Agricultural Bank of China
China
1,993.25
16
Citigroup Inc
USA
1,944.52
17
Sumitomo Mitsui Financial Group
Japan
1,726.21
18
Banco Santander
Spain
1,712.05
19
ING Group
Netherlands
1,656.88
20
Societe Generale
France
1,592.72
21
Lloyds Banking Group
UK
1,548.00
22
Groupe BPCE
France
1,540.24
23
UBS
Switzerland
1,514.15
24
Wells Fargo
USA
1,333.80
25
UniCredit S.p.A.
Italy
1,244.75
26
Credit Suisse Group
Switzerland
1,108.61
27
China Development Bank
China
992.00
28
Goldman Sachs
USA
951.00
29
Rabobank Group
Netherlands
947.62
30
Nordea Bank
Sweden
925.83

Baada ya kufwatilia Finacial Report na Assets mbali mbali zinaziomilikiwa na Benki mbali mbali Ulimwengu kwa muda mrefu blog hii imekuja kugundua hata katika Benki 100 Zenye Assets nyingi na mshiko mrefu Bara La Afrika halina hata Benki moja inayoingia wala hata dalili ya kukaribia. 
| |


Kanisa la VCCT lililo chini ya 
Rev. Dr. Huruma Nkone siku ya Jumapili ya tarehe 2 September, 2012 wanatarajia kuanza kufanya  Ibada Rasmi ndani ya Hema Mpya Ya Kisasa ambayo imeagizwa Kutoka South Africa maalum kwa Ajili Ya Ibada.

Hema Hiyo Ya Kisasa yenye uwezo wa Kuchukua Watu takribani 1000 kwa Mara Moja imefungwa katika Kiwanja Cha Kanisa hilo kilicho maeneo ya Mbezi Beach Kawe ambapo Kwa maelezo ya Dr. Huruma Nkone Hema hiyo ni ya Muda Kabla Kanisa halijaanza 
Ujenzi wa Kanisa Kubwa la Kisasa ambalo litaitwa VCCS-- Victory Christian Centre Sanctuary.

                                 Tabernacle Inavyoonekana Kwa Nje 
Kwa Karibu zaidi

 Ndani Ya Kanisa hilo,  Kanisa Zima zileweka Zuria la Kisasa lenye Kunyonya Mawimbi Ya Sauti Kwa ajili Ya Vyombo Vya Muziki kwa ajili ya Kuzuia Mwangwi, Ndani ya Hema hiyo kimefungwa Chomo Maalum Cha Kudhibiti Sauti Ili Sauti Isisumbue Majirani ( Sound Proof), Ndani Ya Hema Hilo Limezunguzwa na AC, Viyoyozi Vya Kisasa kwa ajili ya Kuhifadhi ubaridi wakati wa Ibada na Kuondoa Joto.
Hapa Vijana wakifanya Set Up Ya Venue kwa ajili ya Ibada Viti Vyekundu Ni Maalum kwa Ajili ya Hema.
                       Carpet Maalum kwa ajili ya Kuzia Mwangwi Wa Sauti

                                                        Ndani Ya Hema

The Rivers Of Joy Wanategemewa kuongoza Praise & Worship

Kanisa la VCCT ambalo liko chini ya Dr. Huruma Nkone, asilimia 60 ya Washirika Wa kanisa Hilo ni Wanafunzi, na Asilimila 80-85 Ya Washirika ni Vijana.Kati Ya Vitu ambavyo Pastor Dr. Huruma Nkone ame invest katika Kanisa hilo ni

1. "Quality"---- Katika hili Designing Ya Kanisa aliibuni Pastor Mwenyewe, Events za Kanisa kama Campus  Night, Soul Breakfast, Open Mic Open heart na Zingine ni Za Kiwango Kikubwa.
                                  Pastor Huruma and Pastor Joyce Nkone

2. Raising People's Talents---- Dr. Huruma Nkone amejaaliwa Karama ya Kugundua, Kulea na Kuendeleza Talents Za Watu, The Praise Team, Ushers Organisation, Mcz, teachings, Singing unless mtu hajataka Kutumika lakini yeyote aliye tayari Kutumika Mlango Uko Wazi. Kwa Sasa imeanzishwa Praise Team (Rivers Of Joy Junior) ambayo hii ita raise Praise and Worship Leaders Miaka 10 Ijayo ambao Kwa sasa wako katika professional teachings.
                                                            
3. PFW---Prayer, Fasting and Word Of God---- Ni Lazima Kila Mwezi  Wiki ya Kwanza Utaratibu wa Kanisa Washirika Kufunga na Kuomba Kama Kanisa, na Kuna Maombi Alfajiri, Mchana na jioni, Kila Mwanzo Wa Mwezi Wiki ya Kwanza ni YA Mungu. Washirika Wamegawiwa katika Vikundi Mbalimbali wanakokaa, Vijana, Wanawake, Wanafunzi Kila Jumamosi Ya Mwisho wa Mwezi, Wana taalum kila Mwanzo Wa Mwezi Jumapili, hakuna Kada mbayo imeachwa bila watu wa aina hiyo Kukutana Kwa ajili ya kujifunza Neno la Mungu.
Marafiki wa kanisa la VCC kutoka Mataifa Mbali Mbali 
  
Hili ndilo Tangazo ambalo limeonekana katika page ya kanisa la VCC Facebook kuashiria ni kweli kuwa wako wamehama
Hii ni Picha ambayo imekutwa katika account mbali mbali za washirika wa kanisa hilo Facebook

Mawasiliano ya Mtandao
Www.vcc.or.tz(website ya kanisa la VCC) ,Facebook Page ya Kanisa inaitwa,"Victory Christian Centre (VCC)", Page ya Vijana Inaitwa "The Bridge Youth Ministry" na Page Ya Wanafunzi inaitwa "Soul Breakfast"



Shukrani maalumu ziwaendee Papaa Ze Blogger na  Missionary Paul William Nyanda kwa kushirikiana na blog hii kupata habari hizi
| |


Baada ya kufwatilia kwa ukaribu na umakini blogu hii imegundua kuwa kuna nchi ambazo zimekuwa na asilimia kubwa ya wafungwa kuliko nyingine hapa ulimwenguni.Twakwimu hizi zimepatika katika nchi ambazo zimekuwa na utunzaji mzuri wa takwimu za wafungwa  katika kiwango cha hali ya juu.Takwimu hizi zimechukuliwa kwa kila wananchi 100,000 wa nchi husika.



             
Jina la Nchi                                               Katika kila watu 100,000


1.Russia                                                                730

2.United States                                                      680

3.Belarus                                                               575

4.Kazakhstan                                                         495

5.Belize                                                                 460 

6.Kyrgyzstan                                                          440

7.Suriname                                                            435

8.Ukraine                                                               430

9.Dominica                                                             420


Takwimu hizi zimepatikana kwenye vitabu vya nchi husika na Report mbali mbali za Mashirika mbali mbali yanayopigania haki za wafungwa Ulimwenguni


| |

1. Birthday (Birth Date) Passwords
Using birth days as passwords are usually for people who are the most forgetful and there are very many of them. The problem with birthdates is that anyone can close or slightly related can guess it. And any hacker can simply try a few combinations of birthday passwords and easily find arrive at the right one. Birthdays are often what hackers use before trying other advanced password hacking methods.
2.Personal Names and Relative Names
Names of strangers or pseudonyms are good as passwords when they are combined with other characters or numbers. But just be careful that you don’t give away hints because that’s where the danger lies. In the past years, “Mndeme” and “Mwakitalima” were common names used as passwords and many online accounts were easily hacked simply using these passwords.


3. Sports Team Names
In Tanzania, the word “Yanga or Simba” is one of the  most common password because it is the easiest team name to type. Millions of people watch professional sports games like , Football and Basketball have been using some of these teams as their passwords for their email and other online accounts; a big mistake and easily hacked passwords.
4. “abc123” Combination
These are very easy letters and digits to memorize so it’s not surprising that many people use them. But unfortunately they are very easy to hack into. Hackers have their own database or “dictionary” that lists common and easy passwords and at times they use automated software to feed in various combinations of these common passwords to try to log in to your online accounts. “abc123” and “123abc” are exactly the combinations that will be a hit in a matter of seconds.
5. “qwerty” and “yuiop” Passwords
At the first glance they may look very distinctive and hard to guess but these passwords are easy because they  are arranged on keyboards in a straight line. Hackers have their own database of patterns, aside from alphabetical orders or numeric orders they also try keyboard arrangements, which most people commonly use.
6. Numerical Passwords  of “123456” ”654321”
These numbers have an obvious pattern which any hackers can easily determine. The numbers written backwards can’t escape the pattern determination either. Even if you jumble the same six digits, hackerswould still make getting in your account is a piece of cake.
 7.The Word “password”
 For years, researchers keep seeing this word as being used over and over again. Using the same name game could really hurt your online data and the hackers can get into almost any account you have and take advantage of your personal information especially if you use the same password to all your accounts. Moreover, adding digits, such as “password1” is not going to make that much easier. It may take longer for your account to be hacked but it will eventually be accessed

| |


Andrew Palau and 700 churches are celebrating the success of their Love Tanzania Festival.
The global evangelist worked together with local churches for the two-day evangelistic event at the Jangwani Stadium in Dar es Salaam earlier this month.
The aim of the event was to foster unity, love and humanitarian outreach.
Speaking to the crowds, Palau invited them to "experience the fullness of Christ".
"I'm begging you to receive God's grace. Jesus is here. The battle is won," he said.
In addition to Palau's biblical messages of hope, there were music performances from Tanzanian artists The Voice, Christina Shusho, comedian Masanja and a national worship team led by Pastor Safari Paul. Nicole C Mullen and Don Moen also took to the stage to perform.
For the children, there was a special stage show featuring British kid's ministry leader Duggie Dug Dug, while BMX and FMX athletes put on thrilling high-flying demonstrations.
"It was fantastically wonderful," said a local resident who attended the festival. "I've been waiting ten years for this."
An estimated 125,000 people attended and several thousand reportedly made public commitments to Jesus Christ. Festival staff received around 6,300 response cards over the course of the festival from individuals who had made decisions to follow Christ. Local Christians will follow up with the individuals and connect them to a church in their area.
Archbishop Valentine Mokiwa of the Anglican Church thanked Palau and the team for the festival.
"It is now our responsibility to do all that we can to strengthen the unity and build on it," he said.
Palau festival director Tim Innes said: "Dar es Salaam in Swahili means 'the Harbor of Peace'.
"Truly, Love Tanzania Festival has brought the peace of Christ in a historic way to the churches and to the city of Dar es Salaam.
"The churches have never experienced this level of unity. God has done it and we give Him all the glory."
The festival was preceded by several weeks of local church outreach supported by an international team of volunteers.
During the ministry week, local churches staged several service projects and community outreaches.
These included the running of four eye clinics that provided reading glasses for more than 8,000 people. The Palau team report that hundreds of people lined up each day, some as early as 5am, to be fitted for a pair of glasses. Each patient to have their vision tested at the clinics received a copy of the Gospel of John.
More than 1,500 kids took part in football and basketball clinics hosted by Play for Hope, a team of professional coaches from Rwanda.
"The unity across the churches in Tanzania throughout this campaign has been historic," Palau said. "The heart of the pastors and leaders to make a difference by loving the city and proclaiming this life-changing message will impact Tanzania for generations. I am humbled and honoured to be a part of it."
| |

1.  Because she wants a provider.
This is a downright instinctual need for some women,so it’s not really fair to judge a woman based on her preference to be a career housewife.Now mind you,not every woman is biologically suited to be independent and ambitious. However,the ones that are tend to be stubborn about their quest to find that doctor or lawyer or movie star of her dreams.


2.Because rich men usually work for their money.
Realistically speaking though,a girl is far more likely to meet a rich man who earns his money through hard work,an entrepreneurial mindset and a creative and risk-taking lifestyle.This is actually part of the attraction she wants a powerful man,and one who is simply not content to be “average.”






   3.Rich men are much more confident.
Knowing that you have something “special” gives you confidence from deep down.
This is why most beautiful women you know have their choice of dates.
They are confident about themselves, the world, and their greatest qualities.So the idea of a man rejecting them hardly matters, since they can get attention elsewhere. 
This is generally the mindset of the rich man.A man who knows his own value,and so doesn’t have to beg for a woman’s favor.It’s too bad more poor men out there didn’t realize the value of confidence,since it’s really not about money at all.


4.Because a rich man offers security.
Sometimes it’s not all about providing for a woman.Sometimes the attraction is just the idea of being “secure.” A rich man has enough money to take care of a woman’s needs—even if she’s high maintenance. 
As in medical bills, exotic vacations, salon pampering.
Beyond that,a man with security can also protect his baby from the storm of recession,depression or even petty crime,given that huge mansion with alarm system installed.


5.Being with a rich man enables a woman to pursue her own goals rather than help him achieve his.
If a man is poor or middle class,he is usually focused on providing for the family. 
He may even want his wife to work, or at least play full time house servant. 
That means little to no free time for her own goals.A rich man has already achieved many of his goals, and so has more free time to give his most precious lover.



6.A rich man means an open schedule.
What women can’t relate to the idea of a man who is always available (even when he’s working…as in, he can afford to take a day off) and always seems to be having fun?
Why it’s like a marriage full of awesome first dates…and without the kitchen sinks drama of a traditional marriage.


7. A rich man has a prestigious name.
The richer a man is, the more prestige he has to his name.Some women like the idea of a rich man because they could possibly benefit from his prestige.
Even he’s not a politician or a movie star,still, a marriage to a rich man could instantly gain her a prominent and influential circle of friends.




   8.Daddy Issues.If a woman is conspicuously attracted to power, discipline and a domineering attitude, then it usually has something to do with her own daddy issues. 
Some women marry men who act similarly to their fathers; others may choose men who are the polar opposites of their father. Older men tend to be father-like in their attitudes, reactions and wisdom.



9.    She likes to see him work.
An interesting thing about human psychology:both men and women love to watch their mates excel at something.We spend most of our lives being “average” in everything,and very good at only a few things.So the idea of watching a doctor or a lawyer work and strut his stuff in front of others can be a huge turn on for a woman looking for someone “special”—a cut above the rest.


10. She wants to be the envy of others.
We’d be lying if we said every single woman out there is mature,rational and smart about men. The truth is; some of us make downright batty decisions! 
Some women are actually so competitive with friends,family and acquaintances they let their desire to be important and prominent affect their dating choices. 
Girls, don’t fear the rich men out there.There are some really nice rich guys. 
My advice however,is to pay extra close attention to a man’s personality and make sure he’s the type of guy who appreciates the value of good work and isn't just a spoiled boy with daddy’s money


NOTES:Special Thanks to each and Everyone who participated to prepare this article in one way on another.
Also thanks to all blogs and website that give out special info and pictures to be used in this blog.
| |