PART I
Tatizo la kujawa na uchungu moyoni yaani kutokusamehe limekuwa ni moja kati ya tatizo kubwa katika kizazi hiki.Nimekutana na watu wengi na hata mimi mwenyewe nimeshawahi kujeruhiwa na kuwa na uchungu kwa namna moja ua nyingine.Lakini muda mwingine nilishindwa kusamehe bila kujua mimi mwenyewe kuwa ni muhanga wa majeraha ya ndani ya moyo ambayo ni uchungu.

Wanawake wengi ndio wamekuwa wahanga wa hili tatizo pia wameshindwa kulificha kuliko wanaume.Kumgundua mwanaume kuwa amejeruhiwa au anauchungu moyoni mwake ni ngumu mpaka ukae naye kwa ukaribu sana.Baada ya kufwatilia kwangu binafsi na kwa wengine hiki ndicho nilichogundua kuwa zifwatazo ni dalili na sifa za kumjua mtu mwenye uchungu au alijeruhiwa ndani ya nafsi yake.Muda Mwingine kumgundua mtu mwenye uchungu au aliyejeruhiwa ndani ya moyo inahitaji umakini zaidi lakini mara nyingi utamgundua kwa njia ya matendo zaidi(Actions)
  1. Mara nyingi mtu aliye na uchungu moyoni huwa hajali kuhusu wengine hufanya vitu tu bila kufikiria kuwa atawaumiza wengine(They show a lack of concern for others. A bitter person cares very little about anybody else).Pale anapoona mwingine ameumia kama yeye ndani yake hujisikia burudani na furaha kwa sababu kiu yake imetimizwa.Lakini furaha yao huwa ya muda tu.
  1. Mara nyingi mtu mwenye uchungu au aliyeumizwa hupenda kujishtukia stukia hata pale ambapo hapa muhusu(They're sensitive and touchy.) For instance, if a bitter person walks into a room where two other people are talking, and those people get quieter as he walks in, the bitter person thinks, “they’re talking about me.".Huu ni moja kati ya mifano ambayo ni kweli na halisi.
  1. Hupenda kuchagua marafiki pia huwa na urafiki na watu wachache sana ,Pia mara chache watu hawa kuwa na marafiki wa karibu(They become very possessive with just a few friends, and rarely ever have any really close friends) They tend to avoid meeting new people.
  1. Mara zote huwa si watu wa shukrani au kukubali kazi ya mtu mwingine pale anapoifanya kwa usahihi.Yaani hawapendi kutoa Pongezi kwa wengine hata kama aliyefanya kile kitu amepatia au ni sahihi(They show little or no gratitude at all)
  1. Hupenda kuongea maneno ya chuki pia hupenda kukosoa mara zote hata pasipohitajika kukosoa au ambapo hapana ulazima wa kukosoa kitu.(They will usually speak words of empty flattery or harsh criticism.)

Next week siku kama ya leo nitaendelea na hili somo kumalizia sifa zilizobaki na tiba yake ya kudumu....Stay tuned.....Siku Kama ya Leo.....

| |