Wakati tukiwa tunafikiri maajabu yameisha kumbe ndio kwanza yaanaanza siku za karibuni Kitabu(Guinness World Records)  cha maajabu Duniani Kimefanikiwa Kuingiza katika Rekodi yake Balbu ambayo Haijawahi kuzima kwa muda mrefu wala Kuungua kwa takribani Zaidi ya Miaka 110 kwenye Kituo cha Zimamoto  namba 6 nchini Marekani katika Jimbo la California Eneo linaloitwa Livermore.

Balbu hii ambayo iliwekwa mwaka 1901 na kwanza kufanya rasmi kazi mwaka huo huo siku ya Tarehe 18 mwezi wa Saba.Balbu hiyo ambayo inafanya kazi Masaa 24 bila kuzimwa kwenye eneo la Injini.

Mwaka 1976 Balbu hiyo ilihamishwa kutoka kwenye eneo moja kwenda lingine huku kumbukumbu zake za uhamishwaji zikiwa zimetunzwa kwa ustadi mkubwa.Balbu hiyo ilipumzishwa kwa saa 22 tu mfululizo na ndipo ilowekwa tena na kuendelea kufanya kazi mpaka leo.


Adolphe A. Chaillet 
Mbunifu wa Balbu hiyo alijulikana kwa jina la Adolphe A. Chaillet na kisha kutengenezwa na kampuni ya Balbu ijulikanayo kwa jina la Shelby Electric Co. nchini Marekani.

Mpaka sasa wataalamu wengine wameshindwa kutoa sababu kwanini Balbu hiyo haijaungua kwa Muda mrefu lakini pia wameshindwa kutengeneza Balbu Nyingine kama hiyo ambayo yenyewe uwezo wa kuhimili muda mrefu bila Kuungua.

Kwa sasa Balbu hii imefungiwa Kamera Maalumu zakuipoza na Kuingalia muda wote kuendelea kupata kumbu kumbu na utendaji mzima wa Balbu hii yenye Maajabu ya aina yake.

Hii ndio Mistari 10 ya Biblia ambayo Imesomwa mara nyingi zaidi kwenye Mtandao wa Biblia ya Toleo la King James

Psalms 23:4  

Yea, though I walk through the valley of the shadow of death, I will fear no evil: for thou art with me; thy rod and thy staff they comfort me.

Philippians 4:13  

I can do all things through Christ which strengtheneth me.

John 3:16 

For God so loved the world, that he gave his only begotten Son, that whosoever believeth in him should not perish, but have everlasting life.

Genesis 1:1 

In the beginning God created the heaven and the earth.


1 Corinthians 13:11

When I was a child, I spake as a child, I understood as a child, I thought as a child: but when I became a man, I put away childish things.

2 Chronicles 7:14

If my people, which are called by my name, shall humble themselves, and pray, and seek my face, and turn from their wicked ways; then will I hear from heaven, and will forgive their sin, and will heal their land.”

Jeremiah 29:11

For I know the thoughts that I think toward you, saith the LORD, thoughts of peace, and not of evil, to give you an expected end.

Ephesians 6:12


For we wrestle not against flesh and blood, but against principalities, against powers, against the rulers of the darkness of this world, against spiritual wickedness in high places.

2 Timothy 1:7 

For God hath not given us the spirit of fear; but of power, and of love, and of a sound mind.

Genesis 1:2 

 And the earth was without form, and void; and darkness was upon the face of the deep. And the Spirit of God moved upon the face of the waters.”