Siku ya Leo majira ya Saa mbili na nusu asubuhi mpaka saa sita nusu katika kanisa la Victory Christian Center moto uliwaka pale ambapo Presenter mwenye vipaji lukuki Papaa Ze Blogger a.k. Samuel Sasali alipokuwa anafanya Presentation ya THINK DIFFERENTLY and MAKE A DIFFERENCE

Hizi ndio point tano zakukufanya UTHINK DIFFERENTLY na UMAKE A DIFFERENCE ambazo Papaa Ze Blogger aligusia 

1. Learn to take Responsibility of your own life.
2. Learn from Experienced People.
3. Learn to Take Risky in Your Life.
4. Have time for your own to plan.
5. Find The Information(s). 


Haya ndio Matukio Katika Picha


 Martin Malecela akifanya maandalizi kwa ajili ya kurusha Presentation kwenye UStream


 Wadau wakiingia kwenye eneo la Tukio tayari kwa ajili ya Presentation


 Wadau wakienda sawa kwenye Praise and Worship

  William Kaijage and Upcoming Billionaire  Prosper Mwakitalima wakijadili vitu vichache


 Wadau wakijiweka Sawa tayari kwa ajili ya Presentation 


Presenter Papaa Ze Blogger akianza kufanya vitu vyake

 Huu ndio munekano wa mtuu mwenye vipaji lukuki Papaa Ze Blogger


 Twende Sawa wadau wakiwa makini


 Haikuwa kama unavyofikiria it was more than powerful aisee



 Watu people ....hii ndio ilikuw idadi yw mwanzo watukio.. viti vilijaa
 Mzee wa Ustream Martin Malecela akifanya vitu vyake World Wide

 Wadau wakiendelea kufuatilia tukio


 Muziki ni jadi yetu sio kama tunabatisha 

Wadau wakienda Sawa...Twende kazi
 Wadau wakienda Sawa...Twende kazi
 Wadau wakienda Sawa...Twende kazi
 Wadau wakienda Sawa...Twende kazi
 Wadau wakienda Sawa...Twende kazi
 Wadau wakienda Sawa...Twende kazi
 Rose Mushi hakukosa..angalia anavyofwatila kwa makini tukio linaoendelea
 Wadau wakienda Sawa...Twende kazi
 Wadau wakienda Sawa...Twende kazi
 Muda ulivyokuwa unazidi kwenda Koti lilionekana zito
 Wadau wakienda Sawa...Twende kazi
 Wadau wakienda Sawa...Twende kazi
 Papa Ze BLogger akifanya vitu vyake
 Rose Mushi akimwaga cheche kwa muda mfupi
 Prezzor Chavala hakuwa nyuma
 The upcoming Billionaire Prosper  Mwakitalima akiongea .... 
Wadau wakienda Sawa...Twende kazi



Soul Breakfast ni program ambayo inafanyika mara moja kwa mwezi katika kila Jumamosi ya Mwisho wa Mwezi katika kanisa la Victory Christian Center at Makumbusho....ni program yenye kutaka kawafikia wanafunzi na watu mbali mbali ikiwa ni kuchange mindset zao kuleta mabadiliko katika jamii ya taifa hili na dunia kwa ujumla

DO NOT DARE TO MISS IT NEXT TIME.....BE BLESSED