Pastor Gwajima

Sintofahamu katika Sakata ya issue ya Dr. Ulimboka imechukua sura mpya Baada ya Siku ya Ijumaa Jeshi la Polisi kujitokeza kwenye vyombo vya habari na kueleza Kuwa Mtuhumiwa wa Sekeseke la kumkamata na Kumtesa Dr. Ulimboka amekamatwa baada ya kwenda katika kanisa la Ufufuo na Uzima lililo chini ya Mch. Gwajima, Mchungaji huyo wa Kanisa hilo amefunguka siku ya jana na kueleza kuwa “Joshua The Kenyan” hakuwahi kwenda kwenye Kanisa hilo na wala Kanisa halina Utaratibu wa Kuungama kwa kusema dhambi.

Taarifa zilizotolewa juzi na kuibua maswali katikati ya Jamii ya Watanzania hususan Wakristo waliozipokea taarifa hizo kuwa Mtuhumiwa huyo aliyefikishwa kizimbani siku ya Ijumaa Asubuhi Mr. Joshua Mulindi Kwa maelezo ya Kova anafanya kazi chini ya kundi la Gun Star lililo chini ya Mkuu wa Kundi hilo Bw. Silence kutoka Nchini Kenya Walikuwa Wamekodiwa kuja Tanzania na Kigogo Mmoja kuja nchini kwa kazi moja ya Kutoa uhai wa Dr. Ulimboka na zoezi hilo kushindikana, ndipo kijana huyo wa Kikenya alikwenda kunako kanisa la Pastor Gwajima na Kukiri kuhusika na sakata zima la Dr. Ulimboka.












Kamanda Sulemani Kova akitoa maelezo ya Kukamatwa Joshua Mulindi

Siku Ya Jana Mch. Gwajima amefunguka na kuruka Kimanga kuhusu sakata hilo na kutaka Kanisa hilo lisihusishwe na Sakata la Dr. Ulimboka sababu huyo mtu mwenye jina la Joshua kutoka nchini Kenya hajawahi kutubu kwenye Kanisa hilo na kueleza kuwa Kanisa lake halina utaratibu wa Kuungama kwa Kusema dhambi za waumini kama ilivyo katika Makanisa mengine hususan RC (Kuungama).

Mch. Huyo ambaye anaamini ana mahasimu wengi katika Gospel ameenda mbali zaidi na kusema kama Mkenya huyo ameeleza hayo basi atakuwa ametumwa na baadhi ya Watu wasioitakia mema huduma hiyo maarufu kwa kurejesha Misukule hapa Tanzania.











Dr. Ulimboka baada ya Kutoka kuteswa na Joshua the Kenyan

Pamoja na taarifa hizi muhimu Blog inakamilisha taarifa muhimu ya kulitazama sakata hili kwa jicho la tofauti kwa kutafuta utata wa maeneo yafuatayo.
  1. Je ni kweli Kabisa kwa Intelligencia ya jeshi la Polisi, baada ya kupokea tu taarifa kwa mtuhumiwa walikwenda kwenye vyombo bila ku cross check ukweli na Kanisa la Mch. Gwajima??
  2. Ni kweli Jeshi la Polisi halikujua kuwa Mch. Gwajima atakataa au waliamini Mch. Gwajima atafunika Kombe Mwanaharamu apite??Kwanini Walifikiri kuna njiab ya Uchochoro kupitia Kanisa hilo.
  3. Ni kweli Kanisa hilo kuanzia sasa wataendelea kusali kwa Amani katika viwanja vya Kawe bila kuanza kusikika tuhuma mbalimbali dhidi ya Kanisa hilo baada ya Mch. Kutia mchanga Kitumbua Cha Dola ya Serikali??
  4. Baada ya Kujisafisha Kwa Mch. Gwajima katika Sakata hilo, Je huyu Joshua kutoka Kenya ni nani hasa???
  5. Baada ya Sakata la Jerry Muro na Mengine yanayofanana na hayo ni Kweli Jeshi la Inteligensia ya Polisi imefikia hapo ilipo???

Kuna mambo mengi ambayo kwa jicho la tatu yataanza kuonekana baada ya Sakata hili linaloendelea la Dr. Ulimboka, Mgomo wa Madaktari, Joshua ze Kenyan, Kanisa la Gwajima na Kuhusika kwa Serikali katika Sakata zima.

Kanisa kwa namna moja limeamua kuangalia pia kweli inasemaje na kujiweka sawa, kama Serikali ilivyoamua kuwa LIWALO na LIWE, basi Pastor Gwajima nae ameamua kuwa LIWALO na LIWE katika Sakata la Kukamatwa Joshua Mulindi. Lazima Jeshi la Serikali nayo ijifunze kusoma Alama Za Nyakati lakini pia kama kuna issue za ku-cook (kupika) basi inatakiwa Intelligencia ya hali ya juu hasa kama issue itahusu mambo ya Imani Za Watu.

Efathaaaa, maaana yake "Funguka". Blog inakamilisha Makala Muhimu iliyoahidi mwishoni mwa wiki jana ili iweze fanya "EFATHA" ya Ukweli.

Thanks to my Brother Papaa The Blogger

1. The ultimate measure of a person is not where they stand in moments of comfort and convenience, but where the stand in times of challenge and controversy

2. The world has the habit of making room for the man whose words and actions show that he knows where he is going.

3. If you don't like something change it; if you can't change it — change the way you think about it

4. Live as if you were to die tomorrow. Learn as if you were to live forever

5. Change and growth take place when a person has risked himself and dares to become involved with experimenting with his own life.


ANDREW PALAU

International evangelist Andrew Palau is passionate about the life-changing power of Jesus Christ and is determined to share the Good News wherever God may call him. But it hasn’t always been this way.

Andrew grew up in a strong Christian home, one of four sons of world evangelist and author Luis Palau. Andrew, however, would choose his own way and did not make an early commitment to Jesus Christ. He attended the University of Oregon where the party life was a large part of his studies. After graduating with a degree in English literature, Andrew moved to Boston where he worked in retail for five years at the May Company.

In 1993, Andrew took vacation time to join his parents for Luis’ evangelistic outreach in Kingston, Jamaica. His father preached the same Gospel message he had heard him share hundreds of times, but this time it was different. Having witnessed God’s presence in the lives of some Jamaicans he met, including Wendy Levy whom he later married, Andrew gave his heart to the Lord after 27 years living apart from Him.

Not long after the Jamaica trip, Andrew returned to Portland, Oregon, to serve as Luis’ personal assistant while he determined which direction to take his career. He found he didn’t have far to go — he thrived when involved with his father’s outreach events.

Andrew was instrumental in crafting the content of the first Palau festivals that marked a key shift away from the crusade model for evangelism. The first two festivals were staged in the Palaus’ home base of Portland, Oregon, in 1999 and 2000. Before moving across the country to direct Washington DC’s event on the National Mall in 2005, Andrew directed festivals in Boise, Idaho, and South Florida.

Now Andrew preaches at his own festivals around the world from the United States to Rwanda, Romania, Egypt, Mexico, India, Poland, and Jamaica. He has shared the Gospel with millions of people, and at every opportunity he demonstrates his father’s same passion and love for Christ and for evangelism. In 2009, he joined Luis on his radio feature, Reaching Your World with Luis Palau. Andrew’s two-minute messages are broadcast on 855 radio outlets every Friday.

“There is power for change in Jesus Christ, the cross, His blood, His burial, and His resurrection,” says Andrew. “I long to see all people embracing His gifts of forgiveness of sins, the Holy Spirit to empower life, and the assurance of heaven for eternity.”

He and Wendy have three children, Christopher, Jonathan, and Sadie Anne. They live in Portland, Oregon, close to the world headquarters of the Palau ministry.

NAMNA YA KUFANYA MAAMUZI SAHIHI KATIKA MAISHA

1.Kila siku tunafanya maamuzi mbali mbali juu ya maisha yetu.Maamuzi mengine ni rahisi sana na sa nyingine haya maswali sana.Mfano….Je umeshafanya homework au Umeshapika ?Lakini kuna mengine ni magumu mfano je nahitaji kuajiri watu wangapi na kwa nini ,Je nataka wawe na ujuzi kiasi gani n.k…Maamuzi rahisi marazote huwa na hatua rahisi za kuchukua kuliko maamuzi magumu kwenye maisha .

Ili kujua haya ni maamuzi magumu kwenye maisha ni vigezo gani vinaangaliwa ?

1.Kufokufahamu au kuto kujua vitu vingi kuhusu maamuzi unayotaka kuyachukua(Uncertainty)

2.Ugumu wa mamamuzi yenyewe unaoletwa na miingiliano ya vitu vingi(Complexity)

3.Athari unazoweza kupata baada ya kufanya maamuzi(High-Risk Consequences)

4.Njia mbadala ya kufanya maamuzi (Alternatives)

5.Je wengine watakuchukuliaje baada ya maamuzi (Interpersonal Issues)

….Pamoja na maswali yote magumu ambayo unaweza kujiuliza ili kukusaidia kufanya maamuzi magumu kwenye maisha ni kuchagua njia ambayo ni sahahi ya kufanya maamuzi .Njia sahihi ya kufanya maamuzi mara zote huleta matokeo bora na sahihi kwenye maisha .

Part 1.