Baada ya Friends on Friday kutimiza mwaka mmoja na kuikaribisha Sizoni ya pili yenye mambo mengi yatakayokuwa ya kushangaza wengi,siku ya jana katika ukumbi wa Makumbusho ya Kijiji cha Taifa ilikuwa siku ya Friends on Friday Nyama Choma.







Chezea Kuku wa FoF....!!


Samaki walikuwa wa kutosha  unabishaaaa...!!!!


Muziki sio swala la Kuuliza kwenye FoF...!!!



Nathan YaMungu ndani ya Nyumba.....!!



Makumbusho....naam palifana kabisa!!!


Hapa wanakamati wanajiuliza hiyo mikuku na misamaki badoooo tuuuuu!!

Eeeh bwana hao kuku badooo....Chris akimuuliza Cheaf Cooker



Hata watoto wanakuja FoF sasa sijui wewe unangoja nini?



Hawa ndio MC's wa jana......!!!




Angalia watu wanavyojiachia ndani Ya FoF



Kukuz.......!!

Samakiz!!

Samaki wa Kuchomaaa....hawakua nyumaa!!!

Clara Kway na  Claire Kolle

Chris Mauki akishusha sindanooooooo.....!!!




Nyama taratibuuuu ...Mtu na Pacha wake



Papa wa Blogger na Bombi Johnson




Mc Pili pili.....Mzee wa Wow...ooh My Gosh!!



Chezea nyama wewe Renee Lyatuu



Moshi Jacque


Faith Pelle



Akina Sasali ndani ya FoF


Emmanuel Henry hakukosaaaaa....!!!


Mc Luvanda na Faith Pelle wakifurahia Nyama Chomaaaaaaa!!!

 

Mc Pilipili alitoa mikao mitano ya mtu akiwa amepata Break Up!!

All the way From Arusha.....Clara Kway Kwa ajili ya FoF nyama Choma kwa pembeni akiwa na Victoria Jonathan!!


Msosi haukuwa nyumaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!



Usikose Event ijayo ya FoF mwezi ujao .......