Jengo la Ghorofa 15 katikati ya jiji la Dar es Salaam mtaa wa Indra Gadhi limeanguka leo asubuhi  pamoja na Watu wapatao 60 ndani yake mkiwemo watoto wa Madrassa katika jengo hilo. 
Mpaka sasa maiti zilizoopolewa ni 14 na majeruhi zaidi ya 30 wamekimbizwa hospitali.

Pata Habari kwa Picha

Wakati Jengo linaanguka

Muonekano wake Baada ya Jengo Kuanguka

Hili Ndilo Eneo la Tukio

Kazi Uokozi Ikieendelea kwenye Eneo la Tukio