Kama umekosa siku ya leo katika viwanja vya jangwani ndani ya Tamasha la Love Tanzania tambua umepitwa na mengi....watu mashuhuru katika tasnia ya muziki wa injili ndani na nje ya Tanzania wamekuwa wakifanya vitu vya ajabu..Kama umekosa napenda kuchukua fursa hii kukuambia pole lakini bado hujachelewa siku ya kesho ambaapo Tamasha hili litaendelea usikose kuhudhuria....Njo ujione watu wanavyompenda Mungu..


 Doen Moen akiwa anafanya Mazoezi siku ya Leo Asubuhi kabla ya kazi jioni ya leo
 Hapa akiendelea na kujaribu vyombo na namna atakavyoperfom jioni hii

 Tunapoongea sasa hivi  hawa jamaa ndio wanamalizia shughuli za hii kazi unayoiona

 Sio miujiza ni kweli na ajabu kama umekosa  jionee kazi inavyoendelea

Hii ndio stage ya Kazi  toka asubuhi ya leo


 Huyu ni mmoja ya wadau waliohudhuria kwenye Love Festival toka asubuhi ya leo Miss Gladness Kilemile


 Hili ndilo enelo la waandishi wa habari lilotengwa

 Toka asbuhi watu mejaa wakiwa tayari kukutana na Mungu aliye hai

Hapa ndipo eneo la wahudumu walipokuwa wanapewa maelekezo


 Hawa ndio wahudumu mbali mbali wa Love Festival Tanzania


 Hili ndilo eneo maalumu lilotengwa kwa ajili ya mchezo wa Baiskeli na Pikipiki


 Wote hawa wakiwa tayari kwa kuangalia michezo ya Baiskeli na Pikipiki




 Hawa wote wakicheki jinsi mchezo wa pikipiki unavyoendelea
 Watoto nao hawakuachwa nyuma hapa ndipo walikuwa wakifanya michezo mbali mbali




















 Hiyo yote unaiona hapo juu ni mchezo mbali mbali ya watoto ambayo imekuwepo siku ya leo hapa viwanja vya jangwani






 Hawa ndio wahudumu wetu wakiwa wamevalia uniform maalum

 Hawa nao walikuwa ndani ya nyumba tayari kushuhudia tukio linaloendelea hapa jangwani








 Mpaka na vyoongea sasa hapa jangwani kumejaa mpaka kumetapika




 Huyu ndie mtaalamu wa michezo ya watoto hapa Ulimwenguni


 Uncle Jimmy akiwa na Upendo Kilahiro tayari kwa kazi hapa viwanja vya jangwani

 Papa The Blogger ndani ya nyumba na Swahiba wake Prosper Alfred Mwakitalima








 Mtaalamu wa Michezo mbali mbali ya watoto akiwa on the Stage huku mtoto mmoja wapo akijiondokea na Jezi ya Man unted full set plus mpira wa Adidas from Old Trafford




 Hawa ndio wanaume wawili walioshusha burudani ya Pikipiki muda sio mrefu 
 Twende kazi hapa uone Baiskeli inavyorudi kinyume nyume ....yaani rivasi


 Huyu ni moja ya Wanaume wachache waliocheze Baiskel kwa nama ambayo sijawahi ona.....ana umri zaidi ya miaka 32 na mbili lakini hatari tupuuu


Stay tuned ....Blog hii itaendelea kukuleta habari mpaka mwisho wa tukio hili.