Rising The Standard ndio ilikuwa kauli mbiu katika Campus Night iliyofanyika katika Mji wa Mbeya siku ya Ijumaa ya tarehe 16/11/2012 bila kusahau mji wa Dodoma nao uliendelea kutikiswa na Event hii ya Campus  Night yenye kauli mbiu My Life,My Love , My All.Naam matukio haya pacha yaliwakutanisha wanafunzi wa elimu ya vyuo mbalimbali katika maeneo husika

Kama ilivyo ada Mc maarufu wa Mji Papaa Sebene ndio alikuwa mshereheshaji wa Event iliyofanyika Mbeya naam...


Katika Segment ya Comedy Mc Pilipili alitikisa mji wa Mbeya,Kama ilivyo ada ya King Chavalla hakukosekana akiwaacha wanafunzi hoi kwa comedy

Wasemaji wa Siku hiyo katika Mji wa Mbeya walikuwa ni Pastor Dr Huruma Nkone,Rose Mushi,Dr Kimambo,Mr Msigwa na Dr Maboko,Wote hawa walizungumzia namna ya ku-rise Spiritual Standard pia na maisha ya kawaida tu ya mwamini katika eneo la uanafunzi



Pastor Dr Huruma Nkone alisema ushalobaro wala utoz toz na u-sista du haumsaidia mtu kuwa na clear future only Jesus can Transform your life na ata-rise standard zako..Kwa mara nyingine tulishudia Radical Gospel ya Dr Huruma Nkone isiyokuwa na kificho.

Nabii Mke a.k.a Rose Mushi alishusha sindano za kurise starndard zako kwenye swala la mahusiano.Alisisitiza kuwa bila Yesu mahusiano yako ni bureee...Alikazia akasema ni Bora uachuke kwa kumtii Mungu kuliko kuumtii mwanadamu.Kama ilivyo ada akiwa hana mic unaweza kumwangalia na kumfikiria unavyopenda..Kosa linafanyika tu pale akiwa na Mic....Ukumbi mzima ulikuwa moved na Nguvu ya Mungu through Rose Mushi.

Dr Kimambo aliongelea swala la Academic and Execellence pindi uwapo shule pia..Akatoa kanuni na mfumo wa namnq ya kurise standard zako na namna ya ku-execel academically..It was more than Powerfully...Kama ulimisi hii na wewe ni mwanafunzi wa mji wa Mbeya pole.Katika yote aliyoongea alisema huwezi fanya chochote bila Yesu.

Dr Maboko aliendelea kuongelea swala Ujasiriamali kwa wanafunzi,alijaribu kushare expirience yake katika swala zima la ujasiriamali bila kusitasita alieleza namna ya kurise standard zako katika swala zima la fedha huku ukiwa bado ni mwanafunzi.Lakini mwisho wa Yote alisema ukitaka kurise standard zako ,Yesu ni jibu la lako.

Mr Msigwa .a.k.a Branch Manager wa CRDB Mbozi mjini,aliendele kusema zaidi kuhusu Mahusiano na Changamoto ambazo kama vijana tunazipitia alieeza namna bora ya kupata mke au mume ambaye anaweza akakufaa na ukaendela kuonekana kuwa bado wewe ni bora na unafanya vizuri kati maswala mengine ya maisha pia
Rose Mushi a.k.a Nabii Mke akiendelea kufwatilia nini kinachoendelea kwenye Campus Night

Pastor Dr Huruma Nkone akeendela kukata Gospel ya ulweli

Music Director Pastor Mathew Sasali pamoja na Mama Pastor Rebecca Sasali wakiongoza jukwaa la Praise and Worship 

Sauti ya Dubu ukipenda Mr Dr Nyanda akiwa kazini kama Mc wa siku hiyo

Praise and Worship chini ya Mama Pastor ikifanya kaziii.....

Watu Pipoz

Sebene ya Yesu ikiwafanya watu wadance

Twende Sawa

Watu Pipoz

Moja ya Matunda ya Campus Night zilizopita akitoa ushuhuda

Mc Shupavu a.k.a Papaa Ze Blogger akiendelea na Kaziii

Twende Sawaaa

Makofi kwa ajili ya Yesuu!!!

Twende Sawa

Pastor  Dr Huruma Nkone akiendelea kukata Gospel kama Katapila

Wanafunzi wakimpa Yesu Maisha yao

Wanafunzi wakimpa Yesu Maisha yao

Dr Kimambo akikata shule 

Watu Pipoz

Nabii Mkee akitabiria Watu

Haikuwa Ya kitoto hata Vice President wa Mzumbe Campus ya Mbeya alikuwepo(Mwenye Top ya Kijani)

Mc Pilipili akiwa Kazini

Dr Maboko akiendelea kuongelea Ujasiriamali

Mr Msigwa akiendela kukata shule ya Mahusiano

King Chavalla akipasu mbavu za watu
Hembu angalia huu umati hapa karibia na Saa kumi na moja asubuhi..lakini watu wapo tuu

Hitimisho katika Jumbe zote zilizoongelewa katika Campus Night hizi ni kwanmba Yesu ndio jibu la kila kitu kwenye kila idara ya maisha na kila kona .Yeye ndio mwanzo tena ni mwisho wa kila jambo.