Baada ya wiki Moja iliyopita kwenye Miji ya Dodoma Na Mbeya kutikiswa na tukio la Campus Night,Jana usiku(23/11/2012) ilikuwa ni zamu ya mji wa Singida kutikiswa na tukio hili Adhimu nchini Tanzania,Rise and Shine ndio ilikuwa theme mjini Singida,Baada ya blog hii kupata habari kutoka kwenye chombo cha kuaminika kwamba zaidi ya watu 700 waliamua kumpa Yesu maisha yao huku takribani watu yapata zaidi ya 5000 wakihudhuria kwenye tukio hili ambalo linatokea mara moja tu kwa mwaka

Pata Matukio katika Picha 



Hapa tupo Katika ya Safari kuelekea  Singida 
Victor & Chavala

Ndani Ya Singida

Costa Mbili Watu Full...

Watu Wakifanya Furaha za Shangwe kwa Bwana


Samuel Yonah... the best guitarist, composer, arranger of all times


Watu pipoz...


The audience Praising and dancing


Prosper ,Steve Wambura,and Chavala


Mungu wa Mapendo...


Students Joint Mass Choir


Papaa Ze Blogger(T-shirt Nyeupe) Mc wa Shughuli akienda sawa


Pastor Dr Huruma Nkone na Daniel a.k.a Kenge wakimsifu Mungu


The Mass Choir perfoming


Hata Baada ya Kumaliza Honey Moon siku chache zilizopita lakini  Steve Wambura hakuacha kumsifu Bwan


The Empire wakifanya Vitu vyao


700 peoples received Jesus


Steven Wambura a.k.a Le grand Mopao akiendesha jahazi
Kama kawa Swahiba Mc Pilipili Hakubaki Nyuma..Pasua Mbavu Singida


Rivers of Joy International wakienda Sawa kwenye Praise and Worship


Katika Yote Ujumbe Mkuu ulikuwa Hauwezi songa Mbele Bila Yesu...Yesu Ni Jibu La Mambo yote