PART III


Ikiwa tunamalizia sehemu ya mwisho ya nini cha kufanya baada ya kuongelea SIFA ZA MTU MWENYE MAJERAHA AU UCHUNGU NDANI YA MOYO
Tambua uchungu/majeraha ya ndani mwasisi wake ni shetani kwa maana nyingine ni mbegu ya shetani kwenye maisha na jamii za watu. Ili uweze kupona majeraha ya ndani au uchungu ni muhimu kuzingatia yafwatayo.

1.Kubali kwanza umejeruhiwa na una uchungu moyoni.Unapokiri wewe mwenyewe kuwa una uchungu au majeraha ya ndani kwenye moyo ni mwanzo wa ukombozi wa maisha yako.Uchungu na majeraha ya ndani husababishwa na vitu mbali mbali kwenye maisha yako.Unapokiria kuwa una majeraha ya ndani ni dalili ya kuwa umeshatambua kosa lako wewe binafsi.Na ni mwanzo wa hatua mpya katika maisha yako binafsi

2.Jifunze kusamehe na kuachilia kabisa.Majeraha ya ndani na uchungu husababishwa  na vitu mbali mbali ikiwemo watu,vitu na hata wewe binafsi.Watu wengi wameshindwa kujisamehe kutokana na makosa waliofanyiwa au kujifanyia wao wenyewe kwenye maisha yao.Kuishi na majeraha ndani ya moy/uchungu hakusaidii kuponya moyo au kuleta amani ya kudumu bali huendelea kujenga chuki kwa muda mrefu ambapo hata kipindi utakapotaka kuchukua hatua ya kusamehe pia itakuchukua muda mrefu.

3.Chukua hatua mpya ya maisha yako.Usiendelee kukaa pale pale kwenye maisha ya uchungu na majeraha ya ndani.Amua kufanya kitu ambacho kitakuletea amani na furaha kwenye maisha yako.Amua kuongeza ujuzi mpya.Amani na Furaha ni kitu cha muhimu kuliko kitu chochote kwenye maisha ya mwanadamu.



"Linda Moyo wako kuliko vyote ulindavyo maana shina la uchungu lisije chipuka ndani yako."


...................................THE END............................................
| |
Baada ya mwezi mmoja uliopita Program ya Wanafunzi wa rika zote pamoja na wadau mbali mbali hapa mjini  inayojulikana kama SOUL BREAKFAST kufanya vizuri  chini ya aliyekuwa Presenter mwenye Vipaji lukuki Papaa Ze Blogger a.k.a Samuel Sasali ni Title yenye jina THINK DIFFERENTLY ,MAKE A DIFFERENCE.

Siku ya tarehe 29/09/2012 ,Muda wa Saa wa 0830 Asubuhi  tutakuwa tunaingia Season II Episode IX pale katika Eneo la VIctoria Christian Centre at Victoria Petrol Station..Muda huu tukiwa na Presenter mwingine machachari ambaye ni Director wa Women Ministry katika Kanisa  la VCCT,MRS FLORENCE MBAGO  atakuwa ki-present topic inayoitwa ENJOYING YOUTHHOOD IN CHRIST.


                 DON'T DARE TO MISS!!!!
| |

Jicho letu katika siku ya leo limefaniliwa kuangazia katika maswala ya kiulinzi katika nchi mbali mbali.Dunia ikiwa katika aina mbali mbali ya mapigano ya vita juu ya umiliki wa rasilimali na utajiri unaopatika katika nchi husika lakini pia nchi kujiahakikishia ulinzi binafsi katika nchi zake.



Ili nchi ifikie viwango vya kuwa na ubora katika majeshi yake kuna sifa mbali mbali zinazotakiwa na pia ubora wa huduma ambazo zinatolewa katika majeshi husika ikiwa ni pamoja na maisha binafsi ya wanajeshi kwa pamoja.
Blog yetu leo imefanikiwa kuangalia nchi kumi duniani zenye majeshi makubwa na ambayo yamekidhi viwango vya kimataifa vya ubora vya majeshi.

Nchi kumi duniani zenye majeshi Bora .

NAFASINCHI
ENEO LA NCHI 

(sq kms)
BAJETI YA MWAKA KWA JESHIIDADI YA WANAJESHINDEGE ZA KIVITAMELI ZA KIJESHISILAHA ZA NYUKLIA
IUSA9,826,630$692 billion1,500,00024,5002,5008,500
IIRussia17,075,200$56 billion1,200,0003,30040011,000
IIIChina9,596,960$100 billion2,300,0005,400700240
IVIndia3,287,590$36 billion1,350,0003,300200100
VUK244,820$74 billion225,0002,250125225
VITurkey780,580$25 billion615,0002,800300NA
VIISouth Korea99,720$27 billion650,0002,300195NA
VIIIFrance643,427$45 billion360,0002,550325300
IXJapan377,835$70 billion240,0002,500170NA
XIsrael20,770$16 billion185,0002,65070200

NOTE:Baadhi ya nchi zilizopo kwenye idadi hazikuruhusiwa kumiliki Silaha za Nyuklia kutokana na Sababu mbali Mbali za Ki-usalama na kihistora ambazo zilisababisha nchi hizo kuwekewa masharti na kusaini mikataba mbali mbali iliyozizui kumiliki silaha za Nyuklia Ulimwenguni
| |
PART II.

Huu ni mwendelezo wa somo amabalo linazungumzia sifa za mtu mwenye majeraha au uchungu ndani ya moyo.Somo hili lilianza wiki iliyopita



6. Ni watu ambao hukaa vinyongo moyoni kwa muda mrefu na hawapendi kusamehe.Mara nyingi watu wa aina hii kusamehe watu wengine ni ngumu sana.Inapofika kwao swala la kusamehe ni afadhali kutafuta mbadala kuliko wao kusamehe mtu makosa waliowafanyia.

7. Ni watu wasumbufu  mara kwa mara na hupenda kulalamika mara kwa mara hata pale ambapo haikupaswa kulalamika bila sababu za msingi.Ulalamishi kwao huwa ni jambo la kawaida ila wao huwa hawapendi kulalamikiwa hata wanapokosea.

8.Hawapendi kushirikiana na watu wengine juu ya mambo mbali mbali ya kijamii mpaka pale watakapojisikia wao wenyewe tu.Pia hawapendi kusaidiwa hata pale ambapo wanapaswa kupata msaada kwa sababu wanajua watajenga ukaribu na watu kitu ambacho wao hawakipendi na wala hawakitaki.

9. Ni watu wanaoongozwa na misisimuko na hisia zaidi kuliko uhalisia.Mara utakuta wana furaha mara baada ya muda mfupi wana huzuni,mara wamekasirika.Hisia zao haziko constant kuwa anafurahi muda wote..au mechukia muda wote.Yaani tabia na hisia zao huwa hazieleweki.Hisia zao huwa kutokana na anavyojisikia siku hiyo au muda huo.


………………Kaa  tayari kwa ajili ya Part III ..ambayo ni ya mwisho..................

Stay tunned…….


| |
PART I
Tatizo la kujawa na uchungu moyoni yaani kutokusamehe limekuwa ni moja kati ya tatizo kubwa katika kizazi hiki.Nimekutana na watu wengi na hata mimi mwenyewe nimeshawahi kujeruhiwa na kuwa na uchungu kwa namna moja ua nyingine.Lakini muda mwingine nilishindwa kusamehe bila kujua mimi mwenyewe kuwa ni muhanga wa majeraha ya ndani ya moyo ambayo ni uchungu.

Wanawake wengi ndio wamekuwa wahanga wa hili tatizo pia wameshindwa kulificha kuliko wanaume.Kumgundua mwanaume kuwa amejeruhiwa au anauchungu moyoni mwake ni ngumu mpaka ukae naye kwa ukaribu sana.Baada ya kufwatilia kwangu binafsi na kwa wengine hiki ndicho nilichogundua kuwa zifwatazo ni dalili na sifa za kumjua mtu mwenye uchungu au alijeruhiwa ndani ya nafsi yake.Muda Mwingine kumgundua mtu mwenye uchungu au aliyejeruhiwa ndani ya moyo inahitaji umakini zaidi lakini mara nyingi utamgundua kwa njia ya matendo zaidi(Actions)
  1. Mara nyingi mtu aliye na uchungu moyoni huwa hajali kuhusu wengine hufanya vitu tu bila kufikiria kuwa atawaumiza wengine(They show a lack of concern for others. A bitter person cares very little about anybody else).Pale anapoona mwingine ameumia kama yeye ndani yake hujisikia burudani na furaha kwa sababu kiu yake imetimizwa.Lakini furaha yao huwa ya muda tu.
  1. Mara nyingi mtu mwenye uchungu au aliyeumizwa hupenda kujishtukia stukia hata pale ambapo hapa muhusu(They're sensitive and touchy.) For instance, if a bitter person walks into a room where two other people are talking, and those people get quieter as he walks in, the bitter person thinks, “they’re talking about me.".Huu ni moja kati ya mifano ambayo ni kweli na halisi.
  1. Hupenda kuchagua marafiki pia huwa na urafiki na watu wachache sana ,Pia mara chache watu hawa kuwa na marafiki wa karibu(They become very possessive with just a few friends, and rarely ever have any really close friends) They tend to avoid meeting new people.
  1. Mara zote huwa si watu wa shukrani au kukubali kazi ya mtu mwingine pale anapoifanya kwa usahihi.Yaani hawapendi kutoa Pongezi kwa wengine hata kama aliyefanya kile kitu amepatia au ni sahihi(They show little or no gratitude at all)
  1. Hupenda kuongea maneno ya chuki pia hupenda kukosoa mara zote hata pasipohitajika kukosoa au ambapo hapana ulazima wa kukosoa kitu.(They will usually speak words of empty flattery or harsh criticism.)

Next week siku kama ya leo nitaendelea na hili somo kumalizia sifa zilizobaki na tiba yake ya kudumu....Stay tuned.....Siku Kama ya Leo.....

| |
This very strange birth story took place in a Church along old Sapele-Benin Expressway in Edo state today, Tuesday Sept 11th, 2012. 
During a special program at the church, a woman gave birth to a horse.
We learnt the woman in question started screaming during the live prayer session and all of a sudden, blood started gushing out of her vagina like that of a woman giving birth.

According to an eyewitness of this bizarre birth, several worshippers took to their heels as they behold the strange creature that just came out of the woman.

Before the arrival of news crew, the horse has passed out.
One Evangelist Silva told reporters that a revelation came forth during the prayer meeting that a woman with an issue has something blocking her womb.
He further stated as prayers intensified, the woman screamed like a woman in labour and the object came out.



NOTE:Habari hii imetolewa katika mtandao wa http://naijagists.com/woman-gives-birth-to-a-horse-in-edo-church/
| |
Kati ya mwaka 2011 kumekuwa ongezeko la Matumizi ya bajeti za majeshi duniani kwa asilimia 0.3.Ukilinganisha na ongezeko ambalo limekuwepo la 4.5 kati ya mwaka 2001-2009.Huku nchi zenye matumizi makubwa zaidi ya fedha katika dunia kama Brazili,Ufaransa,Ujerumani,India,U.K., Marekani zikipunguza matumizi ya bajeti katika majeshi yao katika mwaka 2011 lakini nchi kama China na Urusi zimeongeza matumizi zaidi katika bajeti za majeshi yao hii ni kwa mujibu wa shirika linalohusika na ukusanyaji wa takwimu mbali mbali za majeshi duniani(SIPRI)
Kwa ujumla Bajeti ya dunia katika maswala ya majeshi yamefikia kiasi $1.74 trillion katika mwaka 2011.
Baada ya kufwatilia takwimu mbali mbali za maswala ya majeshi blog hii iliamua kufwatilia nchi na viwanda mbali mbali duniani vinavyozalisha silaha na vifaa mbali mbali za kijeshi duniani kwa sasa.Kwa mujibu wa Mitandao mbli mbali zimetoa viwanda 100 lakini blog hii imechukua viwanda 30 tu na nchi zake.Blog hii haikutaka kutoa aina za silaha na vifaa vya ulinzi ambavyo vinatengenezwa na viwanda hivyo na kiasi cha pesa kwa mwaka zinavyotumia kutengeneza silaha hizo.
Zifwatazo ni nafasi ya kiwanda inayoshika kwa kuzalisha silaha na vifaa mbali mbali vya ulinzi na usalama duniani na nchi ambayo kiwanda hicho kipo.


Nafasi
Kampuni
Nchi
1
Lockheed Martin
Marekani
2
BAE Systems

Uingereza

3
Boeing
Marekani
4
Northrop Grumman
Marekani
5
General Dynamics
Marekani
6
Raytheon
Marekani
7
EADS

Umoja wa Ulaya
8
Finmeccanica

Italia
9
L-3 Communications
Marekani
10
United Technologies
Marekani
11
Thales
Ufaransa
12
SAIC
Marekani
13
Oshkosh Truck
Marekani
14
Computer Sciences Corp.
Marekani
15
Honeywell
Marekani
16
Safran
Ufaransa
17
Rolls-Royce
Marekani
18
General Electric
Uingereza
19
ITT Corp.
Marekani
20
Almaz-Antei
Urusi
21
United Aircraft Corp.
Urusi
22
DCNS
Ufaransa
23
KBR
Marekani
24
URS Corp.
Marekani
25
Mitsubishi Heavy Industries
Japan
26
Alliant Techsystems
Marekani
27
Rockwell Collins
Marekani
28
Saab
Sweden
29
Babcock International Group
Uingereza
30
Textron
Marekani


NOTE:Kwa sababu za kiusalama na masharti ya watoa takwimu mbali mbali duniani haipaswi kuonyesha kila kitu,Hizi ni baadhi ya takwimu tu.Zinaweza kuwa sahihi au Hapana.Zisichukuliwe kama kigezo au reference.
| |

Kanisa la VCCT lililo chini ya Rev. Dr. Huruma Nkone siku ya Jumapili ya tarehe 2 September, 2012 waliweza kuanza kufanya  Ibada Rasmi ndani ya Hema Mpya Ya Kisasa ambayo imeagizwa Kutoka South Africa maalum kwa Ajili Ya Ibada.Hema hii Mpya ya Kisasa ni mwanzo wa kuelekea kwenye maono makubwa ya Kuwa Sanctuary kubwa na ya kisasa katika eneo hili la Mbezi Beach 'A'  ambalo litakuwa linaitwa  VCCS-- Victory Christian Centre Sanctuary.Pata Matukio zaidi katika picha

Huu ndio muonekano wa Hema ya kisasa kwa nje na huu ndio mmoja ya milango mikubwa mitatu ya kuingia ndani ya hema hii ya kisasa
Huyu ndio Mchungaji Kiongozi wa Kanisa hili Rev Dr Huruma Nkone(Kushoto) akiwa na mtafsiri wake Dr.Joachim Kilemile
Huyu Jamaa anayeongoza Praise and Worship ana zaidi ya kipaji cha kupiga gitaa ya solo
Rivers of Joy Wakienda Sawa
Celebration haikuwa ya Kitoto Baada ya safari ndefu from Muhimbili Hospitali To Mbezi Beach A tena kwenye Tabernacle  
Papa Ze Blogger hakukosa kabisa kwani Mpaka kufikia hapa kanisa hili limekuwa na safari ya takribani ya miaka isiyopungua kumi...Ndio maana watu wanacelebrate mbele za Bwana

Glorious Celebration Hawakukosa kwenye hii siku
Rev Dr Huruma Nkone akiwa na Mke wake Mchungaji Joyce Nkone
 Samwel Fred akimpongeza Mchungaji Joyce Nkone kwa safari ndefu mpaka kufikia hapa.
Huu ni mfano wa vipozeo maalumu vilivyofungwa kwenye Hema hili kwa ajili ya kupooza joto katika Hema hili la kisasa
 Glorious Celebration wakienda Sawa 
 Uwepo wa Bwana uliposhuka watu walishindwa kujizuia wakaamua kulala chini kumsujudia Bwana Mungu wao,JEHOVAH.
 Hawa ndio Wazee Viongozi wa Kanisa hili wakiwa pamoja na Familia zao
  Glorious Celebration wakienda Sawa 
 WanaVCCT wakicheza mbele za Bwana
MC Pilipili Emanuel Mathias a.k.a Pilipili ya Shughuli a.k.a Mtoto wa Mama Rhoda akifanya vitu vyake VCCT
 MC Pilipili Emanuel Mathias a.k.a Pilipili akiwa na Prezzor Chavala walipokuwa wanafanya ukarabati wa Mbavu za watu VCCT
Hapa nikiwa na rafiki yangu Mc Pilipili baada ya Ibada kwisha katika kanisa la VCCT katika siku ya kwanza



NOTE:Shukrani za Pekee ziwaendee Kanisa la VCCT kwa kusaidia kuandaa makala hii.

....Picha zote zilizotumika ni mali ya Kanisa la VCCT....
| |






Kama ilivyo ada ya blog hii kila jumanne kujadili na kupresent issue zinazohusu familia,relationship n.k..Baada ya wiki iliyopita kuangazia katika angle nyingine lakini pia blog hii katika siku ya leo imeangalia katika angle nyingine ya ndoa.Watu wengi tumejuuliza sana kwa nini nchi ya Marekani ndio ina wanandoa wengi lakini pia ndoa hizo hazidumu kwa muda mrefu sana.Baada ya kupitia Website,blogs na Forum mbali mbali zinazohusu Divorce za ndoa nchini Marekani hiki ndicho kilichonekana.Pia hata katika jamii yetu ya kiafrika kuna baadhi ya vitu vipo.Wahenga walisema"Mjinga hujifunza kwa Makosa yake Mwenyewe lakini mwenye hekima hujifunza kwa wengine"Zifuatatazo ni sababu mbali mbali zilizonekana ....


I.Kutofautiana katika Vipaumbele na Matarajio ya wanandoa
( Difference in priorities and  expectations)
It may be a self explanatory issue, which a lot of men and women discuss and anticipate prior to marriage, however, unanticipated matters at times do become major issues for many marriages. The fact is, no matter how much we try to harmonizes our priorities, we still remain distinct and different individuals, so the best solution is to meet halfway. Couples who encounter major differences in priorities regarding their lifestyle should sit down and try to come up with a medium and acceptable level of compromise.

II. Matumizi ya dawa za kulevya(Addiction)

Marriages, families and drug addiction certainly don’t mix well. Addicts not only have degrading effects on his own self image and their spouses, most often they leave disastrous emotional scars on their children, close relatives and friends. If a solution to save marriage from addiction is not provided, addiction will turn down everything towards destruction and the more it continues the more destructive it gets in the family. Some of the steps with addiction help can include: identifying the source of addiction, being honest about it and immediately seeking professional counseling intervention. Addiction is one of the most draining causes and reasons for divorce and should be paid immediate professional attention.

III. (Malezi ya Watoto)Child-Rearing Issues

 Sharing simple responsibilities like changing dirty diapers, reading bed time stories for kids to taking them to school or soccer games has historically been some of the most causes for divorce. One of the ways to manage this better is to write down responsibilities and share them fairly. Specify who will do what, then start working on them a trial basis; maybe a week, or longer.  Of course you can collectively decide to change or shift responsibility as needed.

IV. Dini,Mila na Desturi                           (Religious and Cultural strains)

As one of the most common reasons for divorce, religious and cultural differences usually take a lot of heat. Many times such problems really do not exist at all, but when other factors push the marriage towards its demise religious differences unfortunately get thrown in the mix and many times are blamed. Couples usually tend to discuss their differences prior to their marriage but as mentioned before in many cases religion does become a distancing factor.

V.Kuchoshwa , Kuboreka na Ndoa                ( Boredom in marriage)

Believe it or not married couples get bored of each other or the life style they are drawn to. In many cases boredom can become much more noticeable and intolerable after longer years of marriage. While more compatible couples will stay together for life, some couples will eventually grow distant, disinterested, and consequently bored. Couples in this kind of situation should try to celebrate their marriage often and remember the good things and accomplishments that were previously made possible throughout their union. This can help shift the focus from the negatives to the positives. Also, trying new things like traveling, occasionally eating out or planning long-term projects can be good remedies for couples facing boredom, helping them to find a common goal and purpose once again.
VI. Kutoridhishana katika tendo la ndoa(Sexual incompatibility)

Right in the middle of the pack of top most common reasons for divorce sits the reproductive issues as well as sexual compatibility amongst married couple. In most cases sexual dissatisfaction results in separation and divorce but in a lot of other cases, the problem could be amended simply by being openly honest with each other. The issue of sexual incompatibility, whether it is reproductive incapability or else, varies significantly from case to case. Couples who feel that such issue is affecting their relationship should openly consult professionals who may be able to help.

VII. Mgawanyo wa Fedha kwenye Familia (Marital Financial issues)

Money or anything related to finances ca be a possible cause of disagreement between many people – including couples. Married couples, whether they are happy or not, may have disagreements over little financial issues to much bigger shared financial responsibilities or unequal monetary status. Money may not always be the  principal cause but in fact is usually combined with other forms of reasons for divorce. In any case, it is still a significant contributor and should be managed with fairness from both sides, mutual understanding and a tiny dose of compromise.

VIII.Kudhalilishwa                            (Physical, psychological or emotional abuse)

Marriage abuses – from either the husband or the wife – is a big area of concern for many couples. Physical, psychological or emotional abuses come in different forms, which vary from couple to couple and family to family. However, in a short list they include things like telling a spouse that they are unwanted, physical abuse in form of beating, name-calling, ignoring the spouse, restricting the person to a room, emotional or physical terrorizing, monitoring phone calls, forcing spouse to do something they are not comfortable with. Abuse is one of the most common reasons for divorce. It is important for any person who is facing any form of an abuse to seek immediate professional help.

IX. Mawasiliano Kukosekana  (Communication breakdown in relationships)

In a lot of cases when a marriage is breaking down one or both partners often say “we just can not communicate” or  “we just don’t understand each other.” Some people may think that “communication” in a marriage always means agreeing with each other. So when they are not able to agree then the couple refers to the problem as “communication problem.” This is not true. Good communication is not always about agreement but when you are in disagreement it most likely means that you are communicating well and clearly stating your position. Couples who have communication problems, which usually lead to divorce and breakdown are not able to find the between the two points of medium. And once again it is all compromising and finding a balance in between.

X. Kuvunjwa kwa kiapo cha ndoa(Marriage Infidelity)

Most people know what infidelity or cheating is but in more formal terms infidelity is a violation of mutually agreed rules or boundaries that a couple assume in a relationship. In most marriages these terms are not mentioned since they are only assumed to be kept and honored by each person. Ironically, it is holds the number one reason for divorce in the US and many other countries.

NOTE:Kuna uwezekano kuna sababu nyingine nyingi zaidi lakini baada ya uchambuzi zimepatikana hizi chache tu.Pia hizi ni muongozo tu lakini pia kuna uwezekano wa sababu nyingine za koroho pia.

| |