Huku Kuabudu wageni sijui Kutaisha lini,Tunawafukuza na kuharibu maisha ya raia wetu Kwa Kipindi cha Ugeni wa Muda Mfupi.Tunasahau Wageni hao wakiondoka ,Raia tuliowafukuza maeneo yao ya kujipatia kipato ndio tunaobaki nao.Tunatengeneza chuki ya daima kwenye mioyo ya watu kwa ugeni wa mtu wa siku Mbili.Fikiria Je wewe watoto wako wageni wakija Nyumbani,Unawalaza njaa na kwenye sakafu kisa mgeni kaja? Au wewe unafanyaje....Ndivyo Sivyo ni Ndivyo Si Vyo......Karibu ya Muuza Mgahawa haimanishi Chakula Utakula Bure....Ndivyo Sivyo

Katuni...Kwa Hisani ya Masoud