Siku zote Rasilimali hazitoshi kwenye maisha lakini hatuachi kuzitumia kutokana na uchache wa rasilimali hizo.Kuweza kufikia kiwango cha juu cha mafanikio ni lazima utumie kwa uangalifu kiasi hiko kidogo cha rasilimali ambazo unazo kwa wakati huo.Hakuna mtu ambaye amefanikiwa kwenye jambo lolote alikuwa na Rasilimali zote  alizozihitaji.Anza Hapo Ulipo,Anza na Hicho ulicho nacho na Utaweza kufikia Kiwango cha juu cha Mafanikio kwenye maisha yako na Ndoto zako kutakuwa ni dhahiri.