NAMNA YA KUFANYA MAAMUZI SAHIHI KATIKA MAISHA

1.Kila siku tunafanya maamuzi mbali mbali juu ya maisha yetu.Maamuzi mengine ni rahisi sana na sa nyingine haya maswali sana.Mfano….Je umeshafanya homework au Umeshapika ?Lakini kuna mengine ni magumu mfano je nahitaji kuajiri watu wangapi na kwa nini ,Je nataka wawe na ujuzi kiasi gani n.k…Maamuzi rahisi marazote huwa na hatua rahisi za kuchukua kuliko maamuzi magumu kwenye maisha .

Ili kujua haya ni maamuzi magumu kwenye maisha ni vigezo gani vinaangaliwa ?

1.Kufokufahamu au kuto kujua vitu vingi kuhusu maamuzi unayotaka kuyachukua(Uncertainty)

2.Ugumu wa mamamuzi yenyewe unaoletwa na miingiliano ya vitu vingi(Complexity)

3.Athari unazoweza kupata baada ya kufanya maamuzi(High-Risk Consequences)

4.Njia mbadala ya kufanya maamuzi (Alternatives)

5.Je wengine watakuchukuliaje baada ya maamuzi (Interpersonal Issues)

….Pamoja na maswali yote magumu ambayo unaweza kujiuliza ili kukusaidia kufanya maamuzi magumu kwenye maisha ni kuchagua njia ambayo ni sahahi ya kufanya maamuzi .Njia sahihi ya kufanya maamuzi mara zote huleta matokeo bora na sahihi kwenye maisha .

Part 1.

|
0 Responses