Siku ya Jamamosi tarehe 23/03/2013,Huduma ya Soul Breakfast Chini ya kitengo cha Campus Ministry cha Kanisa la Victory Christian Center Tabernacle  a.k.a VCCT kutakuwa na sherehe ya Kutimiza miaka miwili toka huduma hii ya wanafunzi ianzishwe.Napenda kuchukua nafasi hii kama mmoja ya Wadau wa Huduma hii ya Wanafunzi kwenye mji wa Dar es Salaam kukukaribisha.
Inter-Collage Praise Worship Team ndio itaongoza Kusifu na Kuabudu.
Comedy itaongozwa na Mc Pilipili na King Chavala.
Msemaji Mkuu atakuwa Pastor Dr Huruma Nkone.
Vyeti Vitatolewa Siku Hiyo ...n.k

Usafiri wa Kwenda na Kurudi Utukuwepo bure kuanzia Saa Mbili na Nusu Asubuhi kwenye Kituo Cha Mwenge kama Uneelekea Maeneo ya Kiwanda Cha Coca Cola. 
Chai ya Nguvu itatolewa Bure.

Karibuni wote

|
0 Responses