Kati ya mwaka 2011 kumekuwa ongezeko la Matumizi ya bajeti za majeshi duniani kwa asilimia 0.3.Ukilinganisha na ongezeko ambalo limekuwepo la 4.5 kati ya mwaka 2001-2009.Huku nchi zenye matumizi makubwa zaidi ya fedha katika dunia kama Brazili,Ufaransa,Ujerumani,India,U.K., Marekani zikipunguza matumizi ya bajeti katika majeshi yao katika mwaka 2011 lakini nchi kama China na Urusi zimeongeza matumizi zaidi katika bajeti za majeshi yao hii ni kwa mujibu wa shirika linalohusika na ukusanyaji wa takwimu mbali mbali za majeshi duniani(SIPRI)
Kwa ujumla Bajeti ya dunia katika maswala ya majeshi yamefikia kiasi $1.74 trillion katika mwaka 2011.
Baada ya kufwatilia takwimu mbali mbali za maswala ya majeshi blog hii iliamua kufwatilia nchi na viwanda mbali mbali duniani vinavyozalisha silaha na vifaa mbali mbali za kijeshi duniani kwa sasa.Kwa mujibu wa Mitandao mbli mbali zimetoa viwanda 100 lakini blog hii imechukua viwanda 30 tu na nchi zake.Blog hii haikutaka kutoa aina za silaha na vifaa vya ulinzi ambavyo vinatengenezwa na viwanda hivyo na kiasi cha pesa kwa mwaka zinavyotumia kutengeneza silaha hizo.
Zifwatazo ni nafasi ya kiwanda inayoshika kwa kuzalisha silaha na vifaa mbali mbali vya ulinzi na usalama duniani na nchi ambayo kiwanda hicho kipo.


Nafasi
Kampuni
Nchi
1
Lockheed Martin
Marekani
2
BAE Systems

Uingereza

3
Boeing
Marekani
4
Northrop Grumman
Marekani
5
General Dynamics
Marekani
6
Raytheon
Marekani
7
EADS

Umoja wa Ulaya
8
Finmeccanica

Italia
9
L-3 Communications
Marekani
10
United Technologies
Marekani
11
Thales
Ufaransa
12
SAIC
Marekani
13
Oshkosh Truck
Marekani
14
Computer Sciences Corp.
Marekani
15
Honeywell
Marekani
16
Safran
Ufaransa
17
Rolls-Royce
Marekani
18
General Electric
Uingereza
19
ITT Corp.
Marekani
20
Almaz-Antei
Urusi
21
United Aircraft Corp.
Urusi
22
DCNS
Ufaransa
23
KBR
Marekani
24
URS Corp.
Marekani
25
Mitsubishi Heavy Industries
Japan
26
Alliant Techsystems
Marekani
27
Rockwell Collins
Marekani
28
Saab
Sweden
29
Babcock International Group
Uingereza
30
Textron
Marekani


NOTE:Kwa sababu za kiusalama na masharti ya watoa takwimu mbali mbali duniani haipaswi kuonyesha kila kitu,Hizi ni baadhi ya takwimu tu.Zinaweza kuwa sahihi au Hapana.Zisichukuliwe kama kigezo au reference.
| |

Kanisa la VCCT lililo chini ya Rev. Dr. Huruma Nkone siku ya Jumapili ya tarehe 2 September, 2012 waliweza kuanza kufanya  Ibada Rasmi ndani ya Hema Mpya Ya Kisasa ambayo imeagizwa Kutoka South Africa maalum kwa Ajili Ya Ibada.Hema hii Mpya ya Kisasa ni mwanzo wa kuelekea kwenye maono makubwa ya Kuwa Sanctuary kubwa na ya kisasa katika eneo hili la Mbezi Beach 'A'  ambalo litakuwa linaitwa  VCCS-- Victory Christian Centre Sanctuary.Pata Matukio zaidi katika picha

Huu ndio muonekano wa Hema ya kisasa kwa nje na huu ndio mmoja ya milango mikubwa mitatu ya kuingia ndani ya hema hii ya kisasa
Huyu ndio Mchungaji Kiongozi wa Kanisa hili Rev Dr Huruma Nkone(Kushoto) akiwa na mtafsiri wake Dr.Joachim Kilemile
Huyu Jamaa anayeongoza Praise and Worship ana zaidi ya kipaji cha kupiga gitaa ya solo
Rivers of Joy Wakienda Sawa
Celebration haikuwa ya Kitoto Baada ya safari ndefu from Muhimbili Hospitali To Mbezi Beach A tena kwenye Tabernacle  
Papa Ze Blogger hakukosa kabisa kwani Mpaka kufikia hapa kanisa hili limekuwa na safari ya takribani ya miaka isiyopungua kumi...Ndio maana watu wanacelebrate mbele za Bwana

Glorious Celebration Hawakukosa kwenye hii siku
Rev Dr Huruma Nkone akiwa na Mke wake Mchungaji Joyce Nkone
 Samwel Fred akimpongeza Mchungaji Joyce Nkone kwa safari ndefu mpaka kufikia hapa.
Huu ni mfano wa vipozeo maalumu vilivyofungwa kwenye Hema hili kwa ajili ya kupooza joto katika Hema hili la kisasa
 Glorious Celebration wakienda Sawa 
 Uwepo wa Bwana uliposhuka watu walishindwa kujizuia wakaamua kulala chini kumsujudia Bwana Mungu wao,JEHOVAH.
 Hawa ndio Wazee Viongozi wa Kanisa hili wakiwa pamoja na Familia zao
  Glorious Celebration wakienda Sawa 
 WanaVCCT wakicheza mbele za Bwana
MC Pilipili Emanuel Mathias a.k.a Pilipili ya Shughuli a.k.a Mtoto wa Mama Rhoda akifanya vitu vyake VCCT
 MC Pilipili Emanuel Mathias a.k.a Pilipili akiwa na Prezzor Chavala walipokuwa wanafanya ukarabati wa Mbavu za watu VCCT
Hapa nikiwa na rafiki yangu Mc Pilipili baada ya Ibada kwisha katika kanisa la VCCT katika siku ya kwanza



NOTE:Shukrani za Pekee ziwaendee Kanisa la VCCT kwa kusaidia kuandaa makala hii.

....Picha zote zilizotumika ni mali ya Kanisa la VCCT....
| |






Kama ilivyo ada ya blog hii kila jumanne kujadili na kupresent issue zinazohusu familia,relationship n.k..Baada ya wiki iliyopita kuangazia katika angle nyingine lakini pia blog hii katika siku ya leo imeangalia katika angle nyingine ya ndoa.Watu wengi tumejuuliza sana kwa nini nchi ya Marekani ndio ina wanandoa wengi lakini pia ndoa hizo hazidumu kwa muda mrefu sana.Baada ya kupitia Website,blogs na Forum mbali mbali zinazohusu Divorce za ndoa nchini Marekani hiki ndicho kilichonekana.Pia hata katika jamii yetu ya kiafrika kuna baadhi ya vitu vipo.Wahenga walisema"Mjinga hujifunza kwa Makosa yake Mwenyewe lakini mwenye hekima hujifunza kwa wengine"Zifuatatazo ni sababu mbali mbali zilizonekana ....


I.Kutofautiana katika Vipaumbele na Matarajio ya wanandoa
( Difference in priorities and  expectations)
It may be a self explanatory issue, which a lot of men and women discuss and anticipate prior to marriage, however, unanticipated matters at times do become major issues for many marriages. The fact is, no matter how much we try to harmonizes our priorities, we still remain distinct and different individuals, so the best solution is to meet halfway. Couples who encounter major differences in priorities regarding their lifestyle should sit down and try to come up with a medium and acceptable level of compromise.

II. Matumizi ya dawa za kulevya(Addiction)

Marriages, families and drug addiction certainly don’t mix well. Addicts not only have degrading effects on his own self image and their spouses, most often they leave disastrous emotional scars on their children, close relatives and friends. If a solution to save marriage from addiction is not provided, addiction will turn down everything towards destruction and the more it continues the more destructive it gets in the family. Some of the steps with addiction help can include: identifying the source of addiction, being honest about it and immediately seeking professional counseling intervention. Addiction is one of the most draining causes and reasons for divorce and should be paid immediate professional attention.

III. (Malezi ya Watoto)Child-Rearing Issues

 Sharing simple responsibilities like changing dirty diapers, reading bed time stories for kids to taking them to school or soccer games has historically been some of the most causes for divorce. One of the ways to manage this better is to write down responsibilities and share them fairly. Specify who will do what, then start working on them a trial basis; maybe a week, or longer.  Of course you can collectively decide to change or shift responsibility as needed.

IV. Dini,Mila na Desturi                           (Religious and Cultural strains)

As one of the most common reasons for divorce, religious and cultural differences usually take a lot of heat. Many times such problems really do not exist at all, but when other factors push the marriage towards its demise religious differences unfortunately get thrown in the mix and many times are blamed. Couples usually tend to discuss their differences prior to their marriage but as mentioned before in many cases religion does become a distancing factor.

V.Kuchoshwa , Kuboreka na Ndoa                ( Boredom in marriage)

Believe it or not married couples get bored of each other or the life style they are drawn to. In many cases boredom can become much more noticeable and intolerable after longer years of marriage. While more compatible couples will stay together for life, some couples will eventually grow distant, disinterested, and consequently bored. Couples in this kind of situation should try to celebrate their marriage often and remember the good things and accomplishments that were previously made possible throughout their union. This can help shift the focus from the negatives to the positives. Also, trying new things like traveling, occasionally eating out or planning long-term projects can be good remedies for couples facing boredom, helping them to find a common goal and purpose once again.
VI. Kutoridhishana katika tendo la ndoa(Sexual incompatibility)

Right in the middle of the pack of top most common reasons for divorce sits the reproductive issues as well as sexual compatibility amongst married couple. In most cases sexual dissatisfaction results in separation and divorce but in a lot of other cases, the problem could be amended simply by being openly honest with each other. The issue of sexual incompatibility, whether it is reproductive incapability or else, varies significantly from case to case. Couples who feel that such issue is affecting their relationship should openly consult professionals who may be able to help.

VII. Mgawanyo wa Fedha kwenye Familia (Marital Financial issues)

Money or anything related to finances ca be a possible cause of disagreement between many people – including couples. Married couples, whether they are happy or not, may have disagreements over little financial issues to much bigger shared financial responsibilities or unequal monetary status. Money may not always be the  principal cause but in fact is usually combined with other forms of reasons for divorce. In any case, it is still a significant contributor and should be managed with fairness from both sides, mutual understanding and a tiny dose of compromise.

VIII.Kudhalilishwa                            (Physical, psychological or emotional abuse)

Marriage abuses – from either the husband or the wife – is a big area of concern for many couples. Physical, psychological or emotional abuses come in different forms, which vary from couple to couple and family to family. However, in a short list they include things like telling a spouse that they are unwanted, physical abuse in form of beating, name-calling, ignoring the spouse, restricting the person to a room, emotional or physical terrorizing, monitoring phone calls, forcing spouse to do something they are not comfortable with. Abuse is one of the most common reasons for divorce. It is important for any person who is facing any form of an abuse to seek immediate professional help.

IX. Mawasiliano Kukosekana  (Communication breakdown in relationships)

In a lot of cases when a marriage is breaking down one or both partners often say “we just can not communicate” or  “we just don’t understand each other.” Some people may think that “communication” in a marriage always means agreeing with each other. So when they are not able to agree then the couple refers to the problem as “communication problem.” This is not true. Good communication is not always about agreement but when you are in disagreement it most likely means that you are communicating well and clearly stating your position. Couples who have communication problems, which usually lead to divorce and breakdown are not able to find the between the two points of medium. And once again it is all compromising and finding a balance in between.

X. Kuvunjwa kwa kiapo cha ndoa(Marriage Infidelity)

Most people know what infidelity or cheating is but in more formal terms infidelity is a violation of mutually agreed rules or boundaries that a couple assume in a relationship. In most marriages these terms are not mentioned since they are only assumed to be kept and honored by each person. Ironically, it is holds the number one reason for divorce in the US and many other countries.

NOTE:Kuna uwezekano kuna sababu nyingine nyingi zaidi lakini baada ya uchambuzi zimepatikana hizi chache tu.Pia hizi ni muongozo tu lakini pia kuna uwezekano wa sababu nyingine za koroho pia.

| |
Dunia ikiwa imekumbwa na tatizo la Rushwa katika kiwango cha juu baada ya blog hii kufwatilia katika shirika la kimataifa la kuhusu upambanaji wa rushwa na uwazi (Transparency International'). Baada ya kupitia orodha hiyo kwa umakini imekuja kuona nafasi za nchi mbali mbali za Afrika na kwa upande wa dunia. Upande wa Kushoto unaonyesha Nafasi ya Nchi kwa Rushwa katika Bara la Afrika  na Upande wa kulia unaonyesha nafasi ya Rushwa ya Nchi katika dunia.Hizi ndizo nchi 40 za Afrika nafasi zo katika rushwa.



Afrika
Nchi
Dunia

1
Somalia
1

2
Sudan
4

3
Chad
6

4
Guinea
8

4
Equatorial Guinea
8

4
Burundi
8

7
Guinea-Bissau
14

7
DR Congo
14

7
Republic of the Congo
14

7
Angola
14

11
Central African Republic
20

12
Ivory Coast
24

13
Zimbabwe
28

13
Sierra Leone
28

13
Kenya
28

13
Cameroon
28

17
Comoros
36

18
Uganda
43

18
Nigeria
43

18
Mozambique
43

18
Mauritania
43

18
Libya
43

23
Tanzania
52

23
Eritrea
52

25
Ethiopia
56

26
Togo
62

26
Sao Tome & Principe
62

26
Mali
62

26
Egypt
62

26
Djibouti
62

26
Algeria
62

32
Niger
71

32
Gambia
71

32
Gabon
71

32
Benin
71

36
Zambia
76

36
Senegal
76

36
Madagascar
76

39
Liberia
83

40
Rwanda
87

40
Morocco
87

40
Malawi
87

40
Lesotho
87
| |